Habari za Punde

*VODACOM MISS TANZANIA KUANZA KUTEMBELEA VIVUTIO VYA UTALII

Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji (TIC) Emmanuel Olenaiko, akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari alipotembelea kambi ya Warembo wa Vodacom Miss Tanzania leo mchana. Kushoto ni Mkurugenzi wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga.
Mkurugezni wa Kituo cha Uwekezaji (TIC) Emmanuel Olenaiko, ambaye pia ni mlezi wa Kambi ya Miss Tanzania, Meneja wa Mawasiliano Vodacom, Necta Foya na Mkurugenzi wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga (katikati), wakipiga picha ya pamoja na warembo hao wakati Mkurugenzi huyo alipofika kuwaaga warembo hao wanaotarajia kushiriki kwenye shindano la Vodacom Miss Tanzania linalotarajia kufanyika Septemba 11,ambao wameondoka leo kuelekea Arusha kwa ajili ya kutembelea vivutio mbalimbali vya Utalii.
Mkurugezni wa Kituo cha Uwekezaji (TIC) Emmanuel Olenaiko, ambaye pia ni mlezi wa Kambi ya Miss Tanzania, akizungumza na warembo wanaotarajia kushiriki shindano la Vodacoma Miss Tanzania, wakati alipotembelea Kambi ya warembo hao kwenye Hoteli ya Girrafe Jijini Dar es Salaam leo mchana. Warembo hao wameondoka leo kuelekea Arusha kwa ajili ya kutembelea Vivutio mbalimbali vya Utalii.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.