Mkurugezni wa Kituo cha Uwekezaji (TIC) Emmanuel Olenaiko, ambaye pia ni mlezi wa Kambi ya Miss Tanzania, Meneja wa Mawasiliano Vodacom, Necta Foya na Mkurugenzi wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga (katikati), wakipiga picha ya pamoja na warembo hao wakati Mkurugenzi huyo alipofika kuwaaga warembo hao wanaotarajia kushiriki kwenye shindano la Vodacom Miss Tanzania linalotarajia kufanyika Septemba 11,ambao wameondoka leo kuelekea Arusha kwa ajili ya kutembelea vivutio mbalimbali vya Utalii.
RAIS DKT SAMIA KUZUNGUMZA NA WAZEE WA DAR NOVEMBA 2, 2025
-
Rais wa Jamhuri ya Muumgano wa Tanzania Dkt Samia Suluhi Hassan anatarajia
kuzungumza na wazee wa Mkoa wa Dar es salaam siku ya Jumanne Disemba 2
mwaka h...
7 minutes ago
No comments:
Post a Comment