Habari za Punde

*MAKAMU WA RAIS DK. BILAL AKAGUA MAONYESHO YA MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI

Makamu wa Rais vwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal, akiwahutubia wananchi kwenye maadhimisho ya siku ya ukimwi Duniani yaliyoadhimishwa leo Kitaifa katika uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro.


Mkuu wa utafiti wa maabara ya kuchunguza virusi vya ukimwi Wilayani Ifakara, Boniphace Jullu, akimfahamisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal, kuhusu matumizi ya baadhi ya vifaa vya kujikinga na Ugonjwa wa Ukimwi alipotembelea mabanda ya maonesho katika maadhimisho ya siku ya ukimwi Duniani iliyofanyika Kitaifa Mkoani Morogoro le.


Wasanii wa kikundi cha Original Commed, wakishambulia jukwaa wakati wa Maadhimisho ya siku ya ukimwi duniani yaliyoadhimishwa leo kitaifa katika uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.