Baadhi ya Wahitimu wa Kitivo Cha Sayansi ya Jamii, Sanaa na Lugha wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) wakiwa katika harakati za kutafuta picha za ukumbusho na rafiki zao ndugu na jamaa zao wakati wa sherehe za mahafali ya tatu ya Chuo Kikuu hicho yanayoendelea katika Viwanja vya Chimwaga chuoni hapo mjini Dodoma hivi sasa. Mtaletewa matukio ya mahafali haya baadaye.
VIJANA KIBAHA WAPONGEZA HOTUBA YA NANAUKA, WAOMBA USIMAMIZI KATIKA MIKOPO,
AJIRA NA MFUMO WA PORTAL
-
Mwamvua Mwinyi, Kibaha April 22,2026
Baadhi ya vijana wameeleza kuwa licha ya Serikali kuwasilisha taarifa ya
utekelezaji wa shughuli za maendeleo ya vij...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment