Baadhi ya Wahitimu wa Kitivo Cha Sayansi ya Jamii, Sanaa na Lugha wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) wakiwa katika harakati za kutafuta picha za ukumbusho na rafiki zao ndugu na jamaa zao wakati wa sherehe za mahafali ya tatu ya Chuo Kikuu hicho yanayoendelea katika Viwanja vya Chimwaga chuoni hapo mjini Dodoma hivi sasa. Mtaletewa matukio ya mahafali haya baadaye.
Ushirikiano wa CCM ,CPC ni Fursa kwa Zanzibar Kutangaza Sekta ya Utalii
Kimataifa
-
NA MWANDISHI WETU,ZANZIBAR.
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt. Mohamed Said
Dimwa, kuimarika kwa uhusiano wa kisiasa na kiuchumi...
22 minutes ago
No comments:
Post a Comment