Habari za Punde

*MAHAFALI YA WAHITIMU WA CHUO KIKUU CHA UDOM YANAENDELEA MJINI DODOMA

Baadhi ya Wahitimu wa Kitivo Cha Sayansi ya Jamii, Sanaa na Lugha wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) wakiwa katika harakati za kutafuta picha za ukumbusho na rafiki zao ndugu na jamaa zao  wakati wa sherehe za mahafali ya tatu ya Chuo Kikuu hicho  yanayoendelea katika Viwanja vya Chimwaga chuoni hapo mjini Dodoma hivi sasa. Mtaletewa matukio ya mahafali haya baadaye.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.