Baadhi ya Wahitimu wa Kitivo Cha Sayansi ya Jamii, Sanaa na Lugha wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) wakiwa katika harakati za kutafuta picha za ukumbusho na rafiki zao ndugu na jamaa zao wakati wa sherehe za mahafali ya tatu ya Chuo Kikuu hicho yanayoendelea katika Viwanja vya Chimwaga chuoni hapo mjini Dodoma hivi sasa. Mtaletewa matukio ya mahafali haya baadaye.
Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada awasili nchini kwa ziara ya
Kikazi
-
Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada Mhe. Randeep Sarai amewasili
nchini kwa ziara ya kikazi ya siku Tatu.
Mhe. Sarai anatarajiwa kutembelea miradi m...
48 minutes ago
No comments:
Post a Comment