Baadhi ya Wahitimu wa Kitivo Cha Sayansi ya Jamii, Sanaa na Lugha wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) wakiwa katika harakati za kutafuta picha za ukumbusho na rafiki zao ndugu na jamaa zao wakati wa sherehe za mahafali ya tatu ya Chuo Kikuu hicho yanayoendelea katika Viwanja vya Chimwaga chuoni hapo mjini Dodoma hivi sasa. Mtaletewa matukio ya mahafali haya baadaye.
Kimataifa : Rais wa Singapore awasili nchini kwa ziara ya Kitaifa ya siku
tatu
-
Rais wa Jamhuri ya Singapore Mhe.Tharman Shanmugaratnam, amewasili nchini
kwa Ziara ya Kitaifa ya siku tatu, Juni 8-10, 2026.
Katika Uwanja wa Ndege ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment