Mhandisi Mkuu wa Kampuni ya Anudha Ltd, Jonathan Meek (kulia) na Soko Protus wakiandaa mashine ya usingizi 'Nusu Kaputi) yenye uwezo wa kufanya kazi katika mazingira yeyote nchini, kwa ajili ya maonesho katika Mkutano siku tatu wa Afya wenye lengo la kujadili Dawa za Usingizi kwa wagonjwa ulioshirikisha madaktari na wataalamu kutoka mataifa mbalimbali ulioanza jana kwenye Ukumbi wa LAPF Makumbusho jijini Dar es Salaam.
WAZIRI KIKWETE AWATAKA TPSC KUFANYA TAFITI ZITAKAZOSAIDIA KUBORESHA
UTUMISHI WA UMMA NCHINI
-
Na Eric Amani-Dar es Salaam Tarehe 27 Novemba, 2025
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. Ridhiwani Kik...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment