Habari za Punde

UZINDUZI WA FILAMU YA SEPTEMBA 11

Unajua umejitahidi sana mdogo wangu kuingia katika masuala haya ya filam. hiyo ya pili na mimi nishirikishe niwe Kamanda eeeeh!..............Mgeni rasmi katika uzinduzi wa Filamu ya Septemba 11, Kama Lwambo (kulia) akiteta jambo na mwandaaji wa filam hiyo, Fredereck Mwakalebela, wakati wa uzinduzi huo. Picha na (SPM)

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.